113 - Al-Falaq

 

  الْفَلَقْ

 

113-Al-Falaq

 

113-Al-Falaq: Utangulizi Wa Suwrah

 

Alhidaaya.com

 

 

بِسْمِ اللَّـهِ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ

 

قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ الْفَلَقِ ﴿١﴾

1. Sema: Najikinga na Rabb wa mapambazuko.[1]

 

 

مِن شَرِّ مَا خَلَقَ ﴿٢﴾

2. Kutokana na shari ya Alivyoviumba.

 

 

وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ ﴿٣﴾

3. Na kutokana na shari ya giza linapoingia.

 

 

وَمِن شَرِّ النَّفَّاثَاتِ فِي الْعُقَدِ ﴿٤﴾

4. Na kutokana na shari ya wanaopuliza mafundoni.

 

 

وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ ﴿٥﴾

5. Na kutokana na shari ya hasidi anapohusudu.

 

 

 

 

[1] Sababun-Nuzuwl (Sababu Ya Kuteremshwa) Aayah Au Suwrah:

 

Bonyeza kiungo kifuatacho:   

 

113-114-Asbaabun-Nuzuwul: Mu ‘awwidhataan: قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ الْفَلَقِ . قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ النَّاسِ

 

Rejea pia Utangulizi Wa Suwrah kwenye faida tele pamoja na fadhila za Suwrah. 

 

Share