11-Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Wenye Hedhi Na Nifaas Wanaruhusiwa Kula Mchana Wa Ramadhwaan

 

11-Wenye Hedhi Na Nifaas Wanaruhusiwa Kula Mchana Wa Ramadhwaan

 

Fataawaa Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas

 

Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

 

Je Mwenye hedhi na Nifasi wanaruhusiwa kula mchana wa Ramadhwaan?

 

 

JIBU:

 

 

Naam. Wanaruhusiwa kula mchana wa Ramadhwaan lakini ni vyema iwe kwa siri na haswa kama kuna kijana katika nyumba kwa sababu huenda likamtatiza (akataka kufungulia  Swawm).

 

 

Share