04-Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Inafaa Kumkosoa Anayechinja Kwa Ajili Ya Maiti

 

Inafaa Kumkosoa Anayechinja Kwa Ajili Ya Maiti?

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

 

Je katika hali hiyo (kuchinja kwa asiyekuwa Allaah) tunatakiwa kumkosoa aliyechinja kwa ajili ya maiti?

 

 

JIBU:

 

 

Lau mtu akifanya hivyo hatutomkosoa bali tutamuelekeza kile kilicho bora zaidi nayo ni dua'a kwa maiti.

 

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (25/122)]

 

 

Share