06-Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Aliyeoa Na Kuishi Na Baba Yake Udhwhiya Ya Baba Yake Inamtosheleza?

 

Aliyeoa Na Kuishi Na Baba Yake Udhwhiya Ya Baba Yake Inamtosheleza?

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

 

Kijana aliyeoa mwenye mali anayekaa na babake je Udhwhiyah (kichinjo) ya babake kitamtosheleza?

 

JIBU:

 

 

a-Sunnah ni mtu kuchinja kwa ajili yake na watu wa nyumbani kwake wakubwa kwa wadogo.

 

b-Ama ikiwa kila mmoja anakaa nyumba yake tofauti basi kila mmoja anatakiwa achinje alipo (kivyake).

 

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (25/38)]

 

 

Share