12-Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Akisahau Kutamka Du’aa Ya Kuchinja Afanyeje? Kichinjo Kinakuwa Haraam Kuliwa

 

Akisahau Kutamka Du’aa Ya Kuchinja Afanyeje? Kichinjo Kinakuwa Haraam Kuliwa

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

 

 

Mtu anaposahau kutamka du’aa ya kuchinja anatakiwa afanye nini?

 

 

JIBU:

 

Atakayesahau kusema hana madhambi lakini kichinjo kinakuwa haraam na haifai kuliwa.

 

 

[Majmuw’ Al-Fataawaa (25/56)]

 

 

 

Share