43-Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Kuna Hadiyth Kuhusu Kutokwa Majimaji?

 

 Fataawaa Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas

 

43-Kuna Hadiyth Kuhusu Kutokwa Majimaji?

 

Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

 

SWALI:

 

Ni kwa nini haikunukuliwa kutoka kwa Nabiy Hadiyth inayothibitisha kutenguka kwa uwdhu kutokana na majimaji yale pamoja na kuwa Maswahaba walikuwa wakijali mno kutoa fatwa katika mambo ya Sini yao?

 

 

JIBU:

 

 

Ni kwa kuwa majimaji haya hayamtoki kila mwanamke.

 

Share