58-Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Mwenye Hedhi Siku Ya ‘Arafah Afanye Nini?

 

 

Fataawaa Mas-ala 60 Kuhusu Hedhi Na Nifaas

 

58-Mwenye Hedhi Siku Ya ‘Arafah Afanye Nini?

 

Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

 

SWALI:

 

 

Mwanamke akiwa na hedhi siku ya ‘Arafah afanye nini?

 

 

JIBU:

 

 

Mwanamke akiwa na hedhi siku ya ‘Arafah basi ataendelea na Hijjah yake na kufanya wanaofanya watu wala haruhusiwi kutufu katika Nyumba (Al-K’abah) hadi atoharike.

 

Share