Shaykh Fawzaan: Miongoni Mwa Sababu Za Kuthibiti Kwa Dini Ni Kufanya Urafiki Na Swalihina

 

Miongoni Mwa Sababu Za Kuthibiti Kwa Dini Ni Kufanya Urafiki Na Swalihina 

 

Shaykh Swaalih bin Fawzaan Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

 

Amesema Shaykh Swaalih Al-Fawzaan (Hafidhwahu-Allaah)

 

Usuhuba na waja wema hufaidika nao hata wanyama. Kama ilivyotokea kwa yule mbwa aliyekuwa pamoja na watu wa Al-Kahf (Aswhaabul Kahf), hivyo hata zile Baraka zilimhusisha (yeye mbwa).

 

[Al-Khutwbah Al-Minbariyyah uk 114]

 

 

 

 

 

Share