Imaam Ibn Baaz: Kuswali Gizani Inajuzu?

Kuswali Gizani Inajuzu?

 

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

 

Je, inajuzu kuswali kwenye giza?

 

 

JIBU:

 

 

 

Naam, hakuna ubaya wowote, lau kama mtu ataswali sehemu yenye giza hakuna ubaya wowote, alikuwa Rasuli (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akiswali kwenye chumba chake ilihali hakuna taa.

 

 

[Fataawaa Nuwr ‘Alad-Darb (371/7)]

 

 

 

 

Share