05-Riyaadhw Asw-Swaalihiyn: Mlango Wa Kupendeza Kuwa Kati na Kati Katika Mavazi na Kujiepusha na Mavazi Fulani Bila ya Haja Wala Makusudio ya Kisheria

 

Riyaadhw Asw-Swaalihiyn

 

 

باب استحباب التوسط في اللباس وَلاَ يقتصر عَلَى مَا يزري بِهِ لغير حاجة وَلاَ مقصود شرعي

05-Mlango Wa Kupendeza Kuwa Kati na Kati Katika Mavazi na Kujiepusha na Mavazi Fulani Bila ya Haja Wala Makusudio ya Kisheria

 

Alhidaaya.com

 

 

عن عمرو بن شعيب ، عن أبيهِ ، عن جَدِّهِ رضي الله عنه، قَالَ: قَالَ رسول الله صلى الله عليه وسلم : ((  إنَّ اللهَ يُحِبُّ أنْ يُرَى أثَرُ نِعْمَتِهِ عَلَى عَبْدِهِ )) رواه الترمذي ، وقال : (( حديث حسن )) .

Imepokewa kutoka kwa 'Amru bin Shu'ayb (Radhwiya Allaahu 'anhu) kutoka kwa baba yake kutoka kwa babu yake kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Hakika Allaah anapenda kuona athari ya neema Yake kwa mja Wake." [At-Tirmidhiy, na akasema Hadiyth Hasan]

 

 

 

Share