07-Riyaadhw Asw-Swaalihiyn: Mlango Wa Kusuniwa Duaa Katika Safari

 

Riyaadhw Asw-Swaalihiyn

 

باب استحباب الدعاء في السفر

07-Mlango Wa Kusuniwa Duaa Katika Safari

 

Alhidaaya.com

 

 

وعن أَبي هريرة رضي اللهُ عنه ، قَالَ : قَالَ رسولُ الله صلى الله عليه وسلم : ((  ثلاثُ دَعَوَاتٍ مُسْتَجَابَات لاَ شَكَّ فِيهِنَّ : دَعْوَةُ المَظْلُومِ ، وَدَعْوَةُ المُسَافِرِ ، وَدَعْوَةُ الوَالِدِ عَلَى وَلَدِهِ )) رواه أَبُو داود والترمذي ، وقال : (( حديث حسن )) . وليس في رواية أَبي داود : ((  عَلَى وَلَدِهِ )) .

Imepokewa kutoka kwa Abu Huraiyrah (Radhwiya Allaahu 'anhu) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: "Maombi matatu ni yenye kujibiwa hapana shaka yoyote. Maombi ya mwenye kudhulimiwa na maombi ya msafiri na maombi ya mzazi juu ya mtoto wake." [Abu Daawuw na At-Tirmidhiy, na akasema ni Hadiyth Hasan na hakina katika riwaayah ya Abuu Daawuwd: "Juu ya mtoto wake."]

 

 

Share