03-Riyaadhw Asw-Swaalihiyn: Mlango Wa Anachosema Wakati wa Kulala na Kuamka

 

Riyaadhw Asw-Swaalihiyn

باب مَا يقوله عِنْدَ نومه واستيقاظه

03-Mlango Wa Anachosema Wakati wa Kulala na Kuamka

 

Alhidaaya.com

 

 

عن حُذَيفَةَ ، وأبي ذرٍ رضي الله عنهما ، قالا : كَانَ رسولُ الله صلى الله عليه وسلم إِذَا أوَى إِلَى فِرَاشِهِ ، قَالَ : (( بِاسْمِكَ اللَّهُمَّ أَحْيَا وَأموتُ )) وَإذَا اسْتَيقَظَ قَالَ : (( الحَمْدُ للهِ الَّذِي أَحْيَانَا بعْدَ مَا أماتَنَا وإِلَيْهِ النُّشُورُ )) . رواه البخاري .

Wamesema Hudhayfah na Abu Dharr (Radhwiya Allaahu 'anhumaa): Alikuwa Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) anapojilaza kwenye godoro husema: "Bismika Allaahumma amuwtu wa ahyaa (Kwa jina lako, ee Rabb wangu! Ninakufa na kubaki hai)." Na anapoamka husema: "AlhamduliLLaahi ahyaanaa ba'ada maa amaatanaa wa ilayhin Nushuwr (Sifa zote njema anastahiki Allaah ambaye Ametuhuisha baada ya kutufisha na Kwake Tutarudi)." [Al-Bukhaariy]

Share