Skip navigation.
Home kabah

05 Dua'a Unayomuombea Aliyevaa Nguo Mpya

(7)

تُبْـلي وَيُـخْلِفُ اللهُ تَعَالى .

“Itakwisha (kwa kuzeeka na kupasuka) na Mwenyezi Mungu  atakupa nyingine”

(8)

اِلبَـس جَديـداً وَعِـشْ حَمـيداً وَمُـتْ شهيداً

“Vaa nguo mpya, na ishi hali ya kuwa ni mwenye kushukuru, na kufa hali ya kuwa ni shahidi “