Skip navigation.
Home kabah

12 Dua'a Ya Kutoka Nyumbani

  (16)

     بِسْمِ اللهِ ، تَوَكَّلْـتُ عَلى اللهِ وَلا حَوْلَ وَلا قُـوَّةَ إِلاّ بِالله

“Kwa jina la Mwenyezi Mungu  (ninatoka) ninamtegemea  Mwenyezi Mungu , na hapana uwezo wala nguvu ila vyote vinatokana na Mwenyezi Mungu “ 

(17)

اللّهُـمَّ إِنِّـي أَعـوذُ بِكَ أَنْ أَضِـلَّ أَوْ أُضَـلَّ ، أَوْ أَزِلَّ أَوْ أُزَلَّ ،  أَوْ أَظْلِـمَ أَوْ أَُظْلَـمَ ، أَوْ أَجْهَلَ أَوْ يُـجْهَلَ عَلَـيَّ .

“Ewe Mwenyezi Mungu  najilinda Kwako kutokana  na kupotea  au kupoteza, au kuteleza, au kumtelezesha mtu, au kudhulumu au kudhulumiwa, au kuwa mjinga au kufanywa mjinga”