11 Dua'a Ya Kuingia Nyumbani
(18)
بِسْـمِ اللهِ وَلَجْنـا، وَبِسْـمِ اللهِ خَـرَجْنـاَ، وَعَلـى رَبِّنـا تَوَكّلْـناَ
“Kwa jina la Mwenyezi Mungu tunaingia, na kwa jina la Mwenyezi Mungu tunatoka, na Mola wetu tunamtegemea”
Kisha asalimie watu walio ndani
»
- Login or register to post comments
- Email this page


