Skip navigation.
Home kabah

15 Dua'a Ya Kutoka Msikitini

(21)

بِسمِ الله وَالصّلاةُ وَالسّلامُ عَلَى رَسولِ الله، اللّهُـمَّ إِنّـي أَسْأَلُكَ مِـنْ فَضْـلِك، اللّهُـمَّ اَعْصِمْنـي مِنَ الشَّيْـطانِ الرَّجـيم

“Kwa Jina la Mwenyezi Mungu  na rehema na amani zimfikie  Mtume wa  Mwenyezi Mungu, Ewe Mwenyezi Mungu  hakika mimi nakuomba katika fadhila Zako, Ewe Mwenyezi Mungu najilinda kutokana na shetani aliyeepushwa na rehma Zako (aliyelaaniwa )