Skip navigation.
Home kabah

21 Dua'a Za Kikao Kati Ya Sijda Mbili

(48)

رَبِّ اغْفِـرْ لي  ، رَبِّ اغْفِـرْ لي .

“Mola nisamehe, Mola nisamehe”

(49)

اللّهُـمَّ اغْفِـرْ لي ، وَارْحَمْـني ، وَاهْدِنـي ، وَاجْبُرْنـي ، وَعافِنـي وَارْزُقْنـي وَارْفَعْـني

“Ewe Mwenyezi Mungu  nisamehe, na unirehemu, na uniongoze, na uniungie, na unipe afya, na uniruzuku na uniinue”