Skip navigation.
Home kabah

31 Dua'a Ya Wasiwasi Usingizini Au Kusikia Uoga Na Mfadhaiko

 (13)

أَعـوذُبِكَلِمـاتِ اللّهِ التّـامّـاتِ مِن غَضَـبِهِ وَعِـقابِهِ ، وَشَـرِّ عِبـادِهِ  وَمِنْ هَمَـزاتِ الشَّـياطينِ وَأَنْ يَحْضـرون.

“Najilinda na maneno ya Mwenyezi Mungu  yaliotimia kutokana na hasira zake na adhabu yake na shari ya waja wake na vioja vya mashetani na kunijia kwao”