Skip navigation.
Home kabah

34 Dua'a Baada Ya Salamu Katika Swala Ya Witri

 

(Mwisho kabisa baada ya kumaliza Swalah yote na sio baada ya kila Rakaa mbili au nne)

(119)

سُـبْحانَ المَلِكِ القُدّوس

“Ametakasika Mwenyezi Mungu  Mfalme, Mtakatifu"

(mara tatu)

 ربِّ الملائكةِ والرّوح

“Ewe Mola wa malaika na wa Jibriil”