Skip navigation.
Home kabah

36 Dua'a Ya Kupatwa Na Janga Au Balaa

(122)

 

لا إلَهَ إلاَّ اللَّهُ الْعَظـيمُ الْحَلِـيمْ، لا إلَهَ إلاَّ اللَّهُ   رَبُّ العَـرْشِ العَظِيـمِ، لا إلَهَ إلاَّ اللَّهُ  رَبُّ السَّمَـوّاتِ ورّبُّ الأَرْضِ ورَبُّ العَرْشِ الكَـريم

“Hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu  aliye Mtukufu Mpole, hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu  Mola wa Arshi  tukufu, hapana mola apasae kuabudiwa kwahaki ila ni  Mwenyezi Mungu  Mola wa mbingu na Mola wa ardhi na Mola wa arshi tukufu" .

(123)

اللّهُـمَّ رَحْمَتَـكَ أَرْجـوفَلا تَكِلـني إِلى نَفْـسي طَـرْفَةَ عَـيْن، وَأَصْلِـحْ لي شَأْنـي كُلَّـه لَا إِلَهَ إِلَّا أنْـت

“Ewe Mwenyezi Mungu  rehema zako nataraji, usinitegemeze  kwenye nafsi yangu japo kwa muda wa upepesa jicho, naunitengenezee mambo yangu yote, hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Wewe”

(124)

لاَ إِلَهَ إِلَّا أنْـت سُـبْحانَكَ إِنِّي كُنْـتُ مِنَ الظّـالِميـن

“Hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Wewe, kutakasika ni Kwako.  Hakika mimi ni miongoni mwa waliodhumu nafsi zao”

(125)

اللهُ اللهُ رَبِّي  لا أُشْـرِكُ بِهِ شَيْـئاً

“Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu , Mola wangu simshirikishi na kitu chochote kile"