Skip navigation.
Home kabah

37 Dua'a Ya Anaekutana Na Adui Au Mwenye Kutawala

(126)

اللّهُـمَّ إِنا نَجْـعَلُكَ في نُحـورِهِـم، وَنَعـوذُ بِكَ مِنْ شُرورِهـمْ

“Ewe Mwenyezi Mungu  hakika sisi tunakufanya Wewe uwe katika vifua  vyao na tunajikinga kwako na shari zao”

(127)

اللّهُـمَّ أَنْتَ عَضُـدي، وَأَنْتَ نَصـيري، بِكَ أَجـولُ وَبِكَ أَصـولُ وَبِك َأُقـاتِل

“Ewe Mwenyezi Mungu  Wewe ndie msaidizi wangu nawe ndie mnusura wangu, kwako ninazunguka na kwako ninavamia na kwako ninapigana”

(128)

حَسْبُـنا اللهُ وَنِعْـمَ الوَكـيل

“Mwenyezi Mungu anatutosheleza, naye ni mbora wa kutegemewa”