Bado Mali Haijaisha…Endelea Kuitafuta!
‘Abdun-Naaswir Hikmany
Nafasi ya kumuabudia Mola wetu Mlezi tumeiondosha na kuifanya
Yareti Waislamu wote wangeliitikia wito wa Qawl ya Mola Aliposema: ‘Iqraa’ pamoja na mahimizo ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) juu ya kuitafuta elimu, tusingelifikia hali ya kuwa sawa na wendawazimu katika kuitafuta
Kutokana na Mahmuud bin Lubayd (Radhiya Allaahu ‘Anhu), amesema kwamba, amesema Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) “Mambo mawili binaadamu anayachukia: anachukia mauti na mauti ni kheri kwake kutokana na fitnah, anachukia uchache wa mali, na uchache wa mali ni uchache wa hisabu” (Imepokewa na Ahmad)
Tuelewe ya kwamba vyote tunavyovichuma hapa duniani tutaenda kuulizwa mbele ya Muumba, na ndio sababu Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akatuambia kuwa uchache wa
{{Kisha kwa hakika mtaulizwa Siku hiyo juu ya neema (mlizopewa mlizitumiaje.}} [Suratut-Takaathur: 8]
Tunadhani ya kwamba nafsi itakinai mbele ya
{{Ambaye amekusanya
Na ukoje huo moto uitwao Hutwamah? Huo ni moto uliowashwa ukawa mkali usio na mfano wa moto wowote unaoufahamu hapa duniani. Na moto huo utamchoma mtu nje na ndani ya mwili wake ukapita na kuingia hadi kwenye moyo na wakiwa wamefungwa kwa magogo marefu mrefu pasiwe na upenyo wa kutokea.
Hakuna masikhara mbele ya Mola Mtukufu, kwani kubwa litaingizwa kwenye mizani na dogo halitatoka. Yote yatakuwa na hisabu yake kamili, wala hakuna ambaye uvumbuzi wake wa teknolojia utayafanya matendo yake yasiwekwe katika Miyzaan.
- Login or register to post comments
- Email this page
- Chapisha


