Qur-aan Neno Kwa Neno
تَرْجَمَةُ مَعاَنِي كَلِماَتِ الْقُرْآنِ الْحكيم
بِالُلغَّةِ السَّوَاحِيلِيَّةِ كََلِمَةً بِكَلِمَةٍ
Tarjuma Ya Maana Ya Maneno Ya
Qur-aan Al-Hakiym Kwa
Kiswahili Neno Kwa Neno
Assalaamu 'Alaykum
Karibuni kujifunza 'Tarjuma ya Qur-aan Al-Hakiym Neno Kwa Neno Kwa Lugha Ya Kiswahili'.
Ingia katika kiungo kifuatacho uweze kuishusha (download).
Tunawaomba na tutashukuru mkiweza kutuma maoni yenu au makosa yoyote mtakayoyakuta humo kupitia anuani ya webmaster@alhidaaya.com
Hati Miliki (Copy Right): Qur-aan hii sio ya kuuzwa bali inatarajiwa kugaiwa bure pindi itakapochapishwa. Hivyo ni ruhusa kutolesha nakala na kugaiwa bure popote itakapohitajika. Kwa hali yoyote ile isifanyiwe mauzo.
Tunawaomba ndugu zetu msitusahau katika du'aa zenu.
Jazaakumu Allaahu Khayra
- Dibaji
- Utangulizi Wa Mfasiri
- Umuhimu Na Faida Ya Kujifunza Qur-aan Neno Kwa Neno
- Taratibu Za Utendaji Wake Qur-aan Neno Kwa Neno
- Faharasa Ya Surah
- Faharasa Ya Juzuu
- Suratul-Faatiha
- Juzuu Ya 1- Alif Laam Miym Dhaalikal-Kitaab
- Juzuu Ya 2-Sayaquulus-Sufahaau
- Juzuu Ya 3 -Tilkar-Rusulu
- Juzuu Ya 4 - Lan Tanaalul-Birra
- Juzuu Ya 5- Walmuhswanaatu
- Juzuu Ya 6- Laa Yuhibbu Allaahu
- Juzuu ya 7 - Waidhaa Sami'uu
- Vitabu Vya Marejeo
- Login or register to post comments
- Email this page
- Chapisha

Assalam alaykum warhmatullah
Assalam alaykum warhmatullah wabarakatuh,
kazi nzuri! Hakuna kulala! This is one of the best social websites i ever viewed, touches all areas of human life, mabrook!!! inshaallah ikimalizika kazi hii, i suggest ifuatiwe na kazi nyingine ya kutafsiri kila aya ya Quran ili tupate kujua maana haswa ya kushuka aya hiyo. Tunaishi hovyo hovyo kwasababu hatusomi Qur-an tukaelewa.
Jazaaka llahu kheir.
786 Asala Aleikum
786
Asala Aleikum Warahmatulahi Wabarakatu.
I donot have a comment but i would like to have access to your Qu'ranic, hadith teachings, translation or islamic teachings, shown in your face book and do not know whether the pass i have right now is applicale so as to acces what i need as above.
Thanks,
Abdul Maghied Abditam
Mob tel no, +256 772 621319
I'd like to to get intouch
I'd like to to get intouch with this website because there are a lot of qery going on this websiter.
on other hand I' like to get some of the lectures in English to be downloaded into my IPOD if it is oky to do
if i get permission from you if it is not oky
I'm ready to pay for downloading
Assalaam 'alaykum You may
Assalaam 'alaykum
You may contact us at webmaster@alhidaaya.com
You are allowed to download any lectures as long as they are used for personal benefit and not for sale.
Fiy AmaaniLlaah
Assalam aalaykum
Assalam aalaykum warahmatullahi wabarakatuh,
Najua kwamba igekuwa vizuri kwa kuanza na kuwashkuru kwa kitendo kizuri ambaco mlianza na tuombeni Du'ah mwenyezi mungu atufikishe salama kwa kumalizia kitendo hiki. Allahuma Amiin.
lakini ingekuwa vizuri ningewajulisha kuwa nna mkubwa wangu anaitwa MUSSA, Alhamdulillah amehifadhi Qor'an nzima.
Nashkuru saana.
Ndugu muislam kutoka Rwanda(Africa)
Assalaam aleykum, Natoa
Assalaam aleykum, Natoa pongezi kwa wote waliofanikisha kazi hii, inshaallah allah awalipe malipo yaliyo bora kabisa. Nategemea mtakamilisha kwa kutafsili juzuu zote zilizobaki inshaallah, allah awape nguvu na uwezo wa kufanya hayo na mengine ya kheri inshaallah.
Wa 'alaykumus-salaam wa
Wa 'alaykumus-salaam wa RahmatuLLaahi wa Barakaatuh
Tunashukuru kujua kwamba unafaidika na mafunzo ya Alhidaaya. Allaah Akuzidishie elimu ya Dini Yake Tukufu pamoja na sisi sote. Aamiyn.
Tuna furaha kukuarifu kwamba kazi hii tukufu imeshamalizika, ila iko katika marekebisho ya juzuu za mwishoni.
Du'aa zenu muhimu Allaah Atuwezeshe tuikamilishe na ichapishwe ili iwe mikononi mwenu na mzidi kufaidika nayo Inshaa-Allaah.
Ndugu Zako
Assalaam Aleikum,
Assalaam Aleikum,
Congratulation for translating the juzu in a manner that our children will be able to learn easier and also know arabic words.
Assalaam alaykum.! Pongezi
Assalaam alaykum.! Pongezi kubwa kwa kazi nzuri munayoifanya ktk kupigania dini ya Allah.! Inshaallah MWENYEEZI MUNGU atawalipa! Aamyn!
Nashukuru kupata uwelewa juu
Nashukuru kupata uwelewa juu ya matendo na mazingatio hapa duniani
Ninaomba mnifahamishe namna or hatua, matendo ya kusoma wakati unapomsalia maiti.
Naomba msada: tarijama ya
Naomba msada: tarijama ya cor,an neno kwa neno. njia rayisi ya kuingia kila sura ya cor,an. ahsanti
Assalaamu 'alaykum Kuhusu
Assalaamu 'alaykum
Kuhusu ombi lako, ni kwamba hii kazi bado changa, lakini pale tutakapoimaliza tutajaribu kutimiza ombi lako Inshaa-Allaah ikiwa uko uwezekano wa kufanya hivyo ulivyoomba.
Du'aa zako muhimu Allaah Atuwezeshe na Atutakabalie.
Ndugu Zako
AL HIDAAYA
Nawashukuru wote
Nawashukuru wote walioshiriki kufanikisha kupatikana kwa mafunzo ya dini kwa njia hii.
Mungu awazidishie wote