Skip navigation.
Home kabah

Qur-aan Neno Kwa Neno

تَرْجَمَةُ الْقُرْآنِ الْكَرِيمِ كََلِمَةٌ بِكَلِمَةٍ بِالُلغَّةِ السَّوَاحِيلِيَّةِ

Tarjuma ya Qur-aan Tukufu Neno Kwa Neno

Kwa Lugha Ya Kiswahili

   

Assalaamu 'Alaykum

Karibuni kujifunza 'Tarjuma ya Qur-aan Tukufu Neno Kwa Neno Kwa Lugha Ya Kiswahili'.

Ili uweze kuisoma Qur-aan hii unahitaji kuwa na Adobe Reader Version 8.

Ingia katika kiungo kifuatacho uweze kuishusha (download).

Adobe Reader 

Tunawaomba na tutashukuru mkiweza kutuma  maoni yenu au makosa yoyote mtakayoyakuta humo kupitia anuani ya quraan.nenokwaneno@alhidaaya.com

Hati Miliki (Copy Right): Qur-aan hii sio ya kuuzwa bali inatarajiwa kugaiwa bure pindi itakapochapishwa. Hivyo ni ruhusa kutolesha nakala na kugaiwa bure popote itakapohitajika. Kwa hali yoyote ile isifanyiwe mauzo.

Tunawaomba ndugu zetu msitusahau katika du'aa zenu.

Jazaakumu Allaahu Khayra

 

Nawashukuru wote

Nawashukuru wote walioshiriki kufanikisha kupatikana kwa mafunzo ya dini kwa njia hii.
Mungu awazidishie wote