Skip navigation.
Home kabah

Hukumu Ya Matari Na Firimbi Katika Sheria


KIMETOLEWA NA SHARIFF ABDALLA SALIM AL-HUSEINY

Kitabu hiki kina mafundisho ya makatazo ya kupiga Matari na Firimbi katika Ibada na sherehe, jambo  ambalo wengi wamelichanganya na kulichukulia kuwa sio makatazo yaliyotiliwa mkazo katika sheria ya Kiislamu, wakati hukumu yake huingia katika  haraamu ikiwa haikufuatwa ilivyoruhusiwa katika sheria.