Imaam Al-Hasan Al-Baswriy - Kusengenya Kuna Sura Tatu

Kusengenya Kuna Sura Tatu

 

www.alhidaaya.com

 

 

Imaam Al-Hasan Al-Baswriy (Rahimahu Allaah) amesema:

 

"Ghiybah (kusengenya) kuna sura tatu tofauti, zote ziko katika Kitabu cha Allaah Aliyetukuka:

 

1. Al-Ghiybah: Ni kumsema ndugu yako kwa kile alichonacho.

 

2. Al-Ifk: Kumsema ndugu yako kwa kile ulichofikishiwa (uvumi) chenye kumhusu.

 

3. Al-Buhtaan: Kumsema ndugu yako kwa lile asilo nalo (kumzulia).

 

 

[Tafsiyr Atw-Twabariy, mj. 16, uk. 335]

 

Share