‘Abdullaah bin Ad-Daylamiy: Ya Kwanza Kupotea Katika Dini Ni Kuacha Sunnah

Ya Kwanza Kupotea Katika Dini Ni Kuacha Sunnah

 

‘Abdullaah bin Ad-Daylamiy (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com  

 

 

“Jambo la mwanzo lililopotea katika Dini ni kuacha Sunnah, huondoka Dini Sunnah kwa Sunnah kama linavoondoka jabali nguvu kwa nguvu.”

 

 

[Sharh Uswuwl I’tiqaad Ahlis-Sunnah (1/93)]

 

 

Share