Imaam Fudhwayl Bin ‘Iyyaadhw - Ibliys Akikuteka Kwa Mojawapo Ya Mambo Matatu; Amekumaliza

Ibliys Akimteka Mwana Aadam Kwa Mojawapo Ya Mambo Matatu; Amekumaliza

 

Imaam Fudhwayl Bin ‘Iyyaadhw (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com 

 

 

 

“Ibliys akimteka mwana Aadam kwa mojawapo ya matatu husema: “Basi sitotafuta jingine kutoka kwake; Kujiona (kiburi), kudhania 'amali zake ni nyingi na kusahau madhambi yake.”

 

 

[Siyar  A’laam An-Nubalaa li Imaam Adh-Dhahabiy]

 

Share