01-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Kwa nini Allaah Katuumba?

Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com

 

 

01-Kwa nini Allaah Katuumba?

 

Allaah Ametuumba ili tumuabudu na tusimshirikishe Naye kwa chochote.

وَمَا خَلَقْتُ الْجِنَّ وَالْإِنسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ ﴿٥٦﴾

Na Sikuumba majini na wana Aadam isipokuwa waniabudu. [Adh-Dhaariyaat: 56]

 

((حَقُّ اَللَّهِ عَلَى الْعِبَادِ أَنْيَعْبُدُوهُ، وَلاَ يُشْرِكُوا بِهِ شَيْئًا))متّفق عَلَيهِ

((Haki ya Allaah kwa waja wake ni kwamba wamwabudu na wasimshirikishe na chochote)). [Al-Bukhaariy na Muslim]

 

 

 

Share