02-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Vipi tumuabudu Allaah?

Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com

 

 

 02-Vipi tumuabudu Allaah?

 

Tumuabudu Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) kwa ikhlaasw kama Alivyotuamrisha Allaah na Rasuli Wake (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam)

 

وَمَا أُمِرُوا إِلَّا لِيَعْبُدُوا اللَّـهَ مُخْلِصِينَ لَهُ الدِّينَ

Na hawakuamrishwa isipokuwa wamwabudu Allaah wenye kumtakasia Dini [Al-Bayyinah: 5]

 

((مَن عمِلَ عمَلاً لَيْسَ عَلَيهِ أمْرُنا فَهُوَ رَدٌّ)) رواه مسلم .

((Atakayetenda kitendo kisichokuwa katika jambo letu kitarudishwa)) [Muslim]

 

Yaani: Hakitapokelewa.

 

 

Share