13-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Shirki gani iliyokuwa kubwa?

Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com

 

 

 

 

13-Shirki gani iliyokuwa kubwa?

 

Shirkii kubwa ni kufanya ‘ibaadah kwa kumuelekea asiye Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) kama du'aa.

 

قُلْ إِنَّمَا أَدْعُو رَبِّي وَلَا أُشْرِكُ بِهِ أَحَدًا﴿٢٠﴾

Sema: (ee Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم): “Hakika mimi namuomba Rabb wangu na wala simshirikishi na yeyote.” [Al-Jinn: 20]

 

 ((أَكْبرَرُ الْكَبآئِر الإشراكُ باللهِ))  رواه البخاري

((Dhambi kubwa ni kumshirikisha Allaah)) [Al-Bukhaariy]

 

 

 

 

 

 

Share