27-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Nini hukumu ya mwenye kufanya sihri (uchawi)?

 Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com

 

 

 

27-Nini hukumu ya mwenye kufanya sihri (uchawi)?

 

Mwenye kufanya sihri ni kukufuru.

 

وَلَـٰكِنَّ الشَّيَاطِينَ كَفَرُوا يُعَلِّمُونَ النَّاسَ السِّحْرَ

lakini mashaytwaan ndio waliokufuru; wanafundisha watu sihiri [Al-Baqaarah: 102]

 

((اجْتَنِبُوا السَّبْعَ الْمُوبِقَاتِ:الشِّرْكُ بِاللَّهِ وَالسِّحْرُ))  متّفق عليه

 ((Jiepusheni na mambo saba yanayoangamiza; kumshirikisha Allaah, sihri (uchawi)) [Al-Bukhaariy, Muslim]

 

 

Share