34-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Je, Inajuzu kuapa kwa mwengine asiye Allaah?

Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com

 

 

 

34-Je, Inajuzu kuapa kwa mwengine asiye Allaah?

 

Hapana! Haijuzuu kuapa kiapo kisicho cha Allaah.

قُلْ بَلَىٰ وَرَبِّي لَتُبْعَثُنَّ

Bali hapana! Naapa kwa Rabb wangu, bila shaka mtafufuliwa [At-Taghaabun: 7]

 

((مَنْ حَلَفَ  بِغَيْرِ اللَّهِ فَقَدْ كَفَرَ أَوْ أَشْرَكَ))  رواه الترمذي   وأبو داود  وصححه الألباني في صحيح الترمذي .

 ((Atakayeapa pasi na Allaah, atakuwa amekufuru au amemshirikisha Allaah])) [At-Tirmidhiy, Abu Daawuwd na ameipa daraja ya Swahiyh Al-Albaaniy katika Swahiyh At-Tirmidhiy]

 

 

Share