38-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Nini jukumu la Rasuli

 Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com

 

 

 

 

38-Nini jukumu la Rasuli?

 

Jukumu la Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) ni kubalighisha ujumbe.

 

يَا أَيُّهَا الرَّسُولُ بَلِّغْ مَا أُنزِلَ إِلَيْكَ مِن رَّبِّكَ ۖ

Ee Rasuli! Balighisha yale yaliyoteremshwa kwako kutoka kwa Rabb wako.  [Al-Maaidah: 67]

 

((أللّهم هَلْ بلّغت؟ اللّهم اشهد))  مسلم 

جواباً لقول الصحابة نشهد أنّك قد بلّغت

((Ee Allaah! Je nimebalighisha? Ee Allaah Shuhudia)) [Muslim]

 

Jibu la Maswahaba walosema kuwa: Tunashuhudia kuwa umebalighisha.

 

 

 

Share