44-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Nini hukumu ya jihaad kwa Muislamu?

Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com

 

 

 

44-Nini hukumu ya jihaad kwa Muislamu?

 

Kufanya jihaad ni waajib kwa Muislamu kwa kutumia mali, nafsi, na ulimi.

 

انفِرُوا خِفَافًا وَثِقَالًا وَجَاهِدُوا بِأَمْوَالِكُمْ وَأَنفُسِكُمْ فِي سَبِيلِ اللَّـهِ ۚ

Tokeni mwende (vitani) mkiwa wepesi na (mkiwa) wazito, na fanyeni jihaad kwa mali zenu na nafsi zenu katika njia ya Allaah.  [At-Tawbah: 41]

 

((جَاهِدُوا الْمُشْرِكِينَ بِأَمْوَالِكُمْ وَأَنْفُسِكُمْ وَأَلْسِنَتِكُمْ)) صحيح أبي داود

((Piganeni Jihaad na washirikina kwa mali zenu, nafsi zenu na ndimi zenu)) [Swahiyh Abiy Daawuwd: (2186)]

 

 

 

Share