51-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Tufanye nini pale tunapokhitilafiana?

Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com

 

 

 

 

51-Tufanye nini pale tunapokhitilafiana?

 

Pale tunapokhitilafiana, inatupasa turejee katika Qur-aan na Sunnah Sahihi?

 

 فَإِن تَنَازَعْتُمْ فِي شَيْءٍ فَرُدُّوهُ إِلَى اللَّـهِ وَالرَّسُولِ

Mkizozana katika jambo basi lirudisheni kwa Allaah na Rasuli [An-Nisaa: 59]

 

((تَرَكْتُ فِيكُمْ أَمْرَيْنِ لَنْ تَضِلُّوا مَا تَمَسَّكْتُمْ بِهِمَا: كِتَابَ اللهِ وَسُنَّةَ نَبِيِّهِ)) صحيح لغيره رواه مالك

((Nimekuachieni viwili ambavyo mkikamatana navyo hamtopotea abadan baada yangu; Kitabu cha Allaah na Sunnah zangu)) [Swahiyh lighayrihi – ameipokea Maalik]

 

 

Share