55-Mukhtasari Aqiydah Ya Muislamu: Je, inamtosheleza mtu kuwa ajichunge na kujilinda dhidi ya maasi peke yake tu?

Mukhtasari Wa ‘Aqiydah Ya Muislamu

Maswali Na Majibu Pamoja Na Dalili Kutoka Qur-aan Na Sunnah.

Imetarjumiwa na: Alhidaaya.com

 

 

 

 

55-Je, inamtosheleza mtu kuwa ajichunge na kujilinda dhidi ya maasi peke yake tu?  

 

Hapana! Bali inamapsa ajichunge na ajilinde nafsi yake na pia familia yake.

 

يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا قُوا أَنفُسَكُمْ وَأَهْلِيكُمْ نَاراً

Enyi walioamini! Jikingeni nafsi zenu na ahli zenu na moto)) [At-Tahriym: 6]

 

((إِنَّ اللهَ سَائِلٌ كُلَّ رَاعٍ عَمَّا اسْتَرْعَاهُ، أَحَفِظَ أَمْ ضَيَّعَه)) حسن رواه النسائي

((Hakika Allaah Atamuuliza kila mchungaji kile alichokichunga kama alikilinda au alikiacha kikapotea)) [Hadiyth Hasan – An-Nasaaiy]

 

 

Share