02-Swalaah Ya Ijumaa Ni Fardhi Kwa Kila Mwanamme Haijuzu Kuikhalifu Hata Ukikatazwa Na Mwajiri Wako

 

Swalaah Ya Ijumaa Ni Fardhi Kwa Kila Mwanamme

Haijuzu Kuikhalifu Hata Ukikatazwa Na Mwajiri Wako

 

Al-Lajnah Ad-Daaimah

 

www.alhidaaya.com

 

 

Swalaah ya Ijumaa ni fardhi kwa kila mwanamme mwenye kukafilika katika ‘Ibaadah, mkazi, wala haikupasi kuikhalifu kwa sababu ya kazi hata kama mwajiri wako atakukataza.

 

 

[Al-Lajnah Ad-Daaimah (8/185)]

Share