05-Swalaah Ya Ijumaa: Kujuzu Swalaah Ya Ijumaa Hata Kama Idadi Ya Watu Ni Chini Ya Arubaini

 

Kujuzu Swalaah Ya Ijumaa Hata Kama Idadi Ya Watu Ni Chini Ya Arubaini

 

Al-Lajnah Ad-Daaimah

 

www.alhidaaya.com

 

 

Inajuzu kusimamisha Swalaah ya Ijumaa hata kama idadi imepunguka chini ya watu arubaini kutokana na kauli ya Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa):

يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِذَا نُودِيَ لِلصَّلَاةِ مِن يَوْمِ الْجُمُعَةِ فَاسْعَوْا إِلَىٰ ذِكْرِ اللَّـهِ  

“Enyi walioamini! Inaponadiwa kwa ajili ya Swalaah siku ya Ijumaa, kimbilieni kumdhukuru Allaah.” [Al-Jumu’ah: 9]

 

 

[Al-Lajnah Ad-Daaimah (8/215)]

 

 

Share