13-Swalaah Ya Ijumaa: Hukmu Ya Anayeswalisha Ahli Zake Nyumbani Swalaah Ya Ijumaa

 

Hukmu Ya Anayeswalisha Ahli Zake Nyumbani Swalaah Ya Ijumaa

 

Al-Lajnah Ad-Daaimah

 

www.alhidaaya.com

 

 

Atakayeswalisha ahli zake Swalaah ya Ijumaa nyumbani, anapaswa airudie kwa kuiswali Swalaah ya Adhuhuri, wala Swalaah (hiyo) ya Ijumaa (walioiswali nyumbani) haisihi kwao.

 

 

[Al-Lajnah Ad-Daaimah (8/196)]

Share