03-Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Kubusu Ar-Ruknul-Yamaaniy

 

Kubusu Ar-Ruknul-Yamaaniy 

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

 SWALI:

 

Je inaruhusiwa kubusu Ar-Ruknul-Yamaaniy (pembe ya Yemen iliyoko katika Ka'bah)

 

JIBU:

 

Kubusu Ar-Ruknul-Yamaaniy (Pembe ya Yemen) haikuthibitika kutoka kwa Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam).

 

Kitendo chochote ambacho hakikupatikana dalili kutoka kwa Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) huwa ni bid’ah na hakimkaribishi mtu kwa Allaah.

Hivyo hakuna shariy’ah ya kubusu Ar-Ruknul-Yamaaniy. Hadiyth iliyotaja hivyo imechambuliwa kuwa ni Hadiyth dhaifu, hivyo haiwezi kuhesabiwa kama ni dalili.

 

[Al-Bid’ah wal-Muhdathaat wa maa laa aswla lahu – Uk. 388, Fiqh al-'Ibaadaat – Uk. 348]

 

Share