08-Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Kuosha Vijiwe Kwa Ajili Ya Jamaraat

 

Kuosha Vijiwe Kwa Ajili Ya Jamaraat 

 

 Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

 

Nini hukmu ya kuosha mawe kwa ajili ya Jamaarat? (Sehemu za kurusha vijiwe)

 

JIBU:

 

 

Yasioshwe, kwani kufanya hivyo kwa niyyah ya ‘ibaadah kwa ajili ya Allaah, huwa ni bid’ah kwa sababu Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) hakufanya hivyo.

 

 

 

[Al-Bid'ah wal-Muhdathaat wa maa laa aswla lahu – Uk. 404]

 

 

 

Share