Ujumbe Kutoka Kwa Ramaadhaan
Mimi ni Ramadhani,
Nilimpa Ujumbe Rajabu Akuletee
Nikamtuma na Shaaban,
Akwambie Kua Niko Njiani
Sasa Nimefika na Mke Wangu
Swaum na Watoto Wetu Wa Tatu
Rahma, Maghfira Na Toba,
Sijamsahau Rafiki Yangu Qur'aan
Na Ndugu Yake Qiyaamul Layl,
Sikai Kwa Muda Mrefu
Ntaondoka Na Familia Yangu,
Kumpisha Eid
»
- Login or register to post comments
- Email this page
- Chapisha

Assalam Aleikum
Assalam Aleikum Warahmatullahi Wabarakatuh. ningependa sana kama mngetuma kanda ya kusikiliza Qaswida yeyote ile, ili nasi pia tuifurahie utamu wake. napia tujifunze ili tuweze kufunza wengine.
INSHA'ALLAH.