057-Hiswnul-Muslim: Du’aa Ya Kumtaazi (Kumhani) Aliyefiliwa

Hiswnul-Muslim

057-Du’aa Ya Kumtaazi (Kumhani) Aliyefiliwa

www.alhidaaya.com

 

 

Bonyeza Hapa Usikilize

 

[162]

إِنَّ للهِ ما أَخَذ، وَلَهُ ما أَعْـطـى، وَكُـلُّ شَيءٍ عِنْـدَهُ بِأَجَلٍ مُسَـمَّى، فَلْتَصْـبِر وَلْتَحْـتسِبْ

 

Inna liLLaahi maa Akhadha wamaa a’-twaa, wakullu shay-in ‘Indahu biajalin musammaa, faltaswbir waltahtasib

 

Kwa hakika ni Chake Allaah Alichokichukua na ni Chake Alichokitoa, na kila kitu Kwake kina muda maalum, basi vuta subira na taka malipo kwa Allaah[1]

 

 na akisema ifuatavyo  pia bora:

أَعْظَـمَ اللهُ أَجْـرَكَ، وَأَحْسَـنَ عَـزاءَ كَ، وَغَفَـرَ لِمَـيِّتِكَ

 

A’-dhwama-Allaahu ajrak, wa ahsana ’azaa-aka, wa ghafara limayyitika

 

Allaah Afanye malipo yako makubwa, na Akufanye kuzuri kutaaziwa (kuhaniwa) kwako na Amghufurie maiti wako[2]

 

 

 

[1]Hadiyth ya Usaamah bin Zayd (رضي الله عنه) - Al-Bukhaariy (2/80) [1284], Muslim (2/636) [933] na katika Musnad Ahmad

[2]Al-Adhkaar, lin-Nawawy (Uk. 126)

 

 

Share