Pilau Ya Nafaka Ya Nyama Ya Kusaga
VIPIMO
Mchele - 3 vikombe
Nyama ya kusaga - 1 LB
Mchanganyiko wa Nafaka upendazo; maharagwe, njegere, mbaazi n.k 1 mug
Vitunguu maji kata vipande vipande - 3 vya kiasi
Kitunguu saumu(thomu/galic) na Tangawizi - 2 vijiko vya supu
Mafuta - ½ Kikombe
Mchanganyiko wa bizari (Garam Masala) - 2 vijiko vya chai
Mraba ya supu ya nyama - vidonge 2, au supu yenyewe kiasi cha kutia ladha (hakikisha supu isizidi kipimo kwa kupunguza kipimo cha maji).
Maji (inategemea mchele) - 5
Chumvi - Kiasi
NAMNA YA KUTAYARISHA NA KUPIKA
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/44
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1001&title=Pilau%20Ya%20Nafaka%20Na%20Nyama%20Ya%20Kusaga