Mahshi Waraqah ‘Anab - Majani Ya Zabibu Yaliyojazwa (Shaam)
Vipimo
Majani ya Zabibu (Grape leaves) - 1 Kilo
(au yanapatikana katika chupa)
Mchele wa Kimisri (Egyptian rice)
uliooshwa na kuchujwa - 2 Vikombe
(ni mchele wa chembe ndogo ndogo
zaidi kuliko wa kawaida)
Vitunguu maji vilivyosagwa - 5
Mafuta - ¼ kikombe
Kotmiri iliyokatwa ndogo ndogo kabisa - ¼ kikombe
Baqdunis (Parsely leaves) iliyokatwa
ndogo ndogo kabisa - ¼ kikombe
Nyanya ya kopo - ½ kibati
Ndimu ya maji - ½ kikombe
Mafuta ya zaituni (olive oil) - ½ kikombe
Viazi vilivyokatwa duara nyembamba - 3
Maji - 3 Vikombe
Bizari ya pilau ya unga (cumin powder) - ½ kijiko
Pilipili manga - ½ kijiko cha chai
Chumvi - kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Bis-swihhah wal-hanaa (kula kwa siha na kuburudika)
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/44
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1012&title=Mahshi%20Waraqah%20%E2%80%98Anab%20-%20Majani%20Ya%20Zabibu%20Yaliyojazwa%20%20%28Shaam%29%20