Ombeni Daima Kuthibitika Katika Iymaan Na Mkhofu Kuangamia
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)
Alhidaaya.com [2]
Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah) amesema: “Nausia nafsi yangu na nakuusieni kwamba tumuombe Allaah daima kuthibitika katika iymaan na kwamba mukhofu kwani chini ya miguu yenu kuna vitelezo, basi ikiwa Allaah Hatokuthibitisheni, mtaangukia katika maangamizi.”
[Ash-Sharh Al-Mumti’ 5/388]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/229
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10136&title=Imaam%20Ibn%20%E2%80%98Uthaymiyn%3A%20Ombeni%20Daima%20Kuthibitika%20Katika%20Iymaan%20Na%20Mkhofu%20Kuangamia