Kuwafananisha Watoto Na Malaika Haijuzu
Al-Lajnah Ad-Daaimah
Alhidaaya.com [2]
SWALI:
”Ni nini hukumu ya kuwafananisha watoto na Malaika, kwa sababu katika lugha yetu tunasema kuwa watoto ni Malaika?”
JIBU:
Haifai. Hili ni kosa kubwa ambalo watu wengi wanaangukia na hakuna hoja wala mazingatio ya kudai kwao kwamba wanakusudia kuwa watoto hawana dhambi kama vile Malaika.
Wa bi-LLaahi At-Tawfiyq wa Swalla Allaahu ‘alaa Nabiyyinaa Muhammad wa aalihi wa Swahbihi wa sallam.
[Fataawaa Al-Lajnah Ad-Daaimah Lil-Buhuwth Al-'Ilmiyyah Wal-Iftaa: Fatwa (16)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/203
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10838&title=Al-Lajnah%20Ad-Daaimah%3A%20Kuwafananisha%20Watoto%20Na%20Malaika