Mwanamke Kufanya Sajdah At-Tilaawah Bila Ya Kujifunika Kichwa Inajuzu?
Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)
Alhidaaya.com [2]
SWALI:
Je inajuzu kwa mwanamke kufanya Sajdatut-Tilaawah (Sijda Ya Kusoma Qur-aan) bila ya kujifunika kichwa?
JIBU:
“Akisujudu akiwa hajajifunika hakuna neno ni sawa, bali akijisitiri kama vile yupo kwenye Swalaah na akasujudu akiwa ni mwenye twahara ni bora zaidi.”
[Fataawa Nuwr ‘ala Ad-Darb (11352)]
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/205
[2] http://www.alhidaaya.com
[3] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F10980&title=Imaam%20Ibn%20Baaz%3A%20Mwanamke%20Kufanya%20Sajdah%20At-Tilaawah%20Bila%20Ya%20Kujifunika%20Kichwa%20Inajuzu%3F