Wali Wa Mboga Na Mchuzi Wa Kuku wa Tanduri
Vipimo vya Wali:
Mchele basmati - 3 magi (kikombe kikubwa)
Mchanganyiko wa mboga za barafu
(Frozen vegetables) - 1 ½ mug
Chumvi - kiasi
Mafuta - 3 vijiko vya chakula
Kitungu maji (kilichokatwa) - 1
Bizari ya pilau (nzima) - 1 kijiko cha chakula
Namna Ya kutayarisha na kupika:
Vipimo Vya Mchuzi
Kuku - 2 Ratili (LB)
Chumvi - Kiasi
Mafuta - ¼ Kikombe
Nyanya Kata vipande - 4
Nyanya kopo - 2 vijiko wa chakula
Tangawizi - 1 kijiko ya chakula
Kitunguu saumu(thomu/galic) - 1 kijiko ya chakula
Tanduri masala - 1 kijiko cha chakula
Kotmiri liliyokatwa - 3 vijiko vya chakula
Pilipili mbichi - 2
Pili masala - 1 kijiko cha chakula
Garam masala - ½ kijiko cha chakula
Bizari manjano - ½ kijiko cha chakula
Mtindi - 3 vijiko vya chakula
Pilipili boga (kata vipande virefu) - 1
Ndimu - 2 vijiko vya chakula
Namna ya kutayarisha na kupika:
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/44
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1706&title=Wali%20Wa%20Mboga%20Na%20Mchuzi%20Wa%20Kuku%20wa%20Tanduri