Hummus (Shaam)
Vipimo:
Dengu (chick peas) - *1 Kopo kubwa au vikombe 2
*Twahiynah - 3 Vijiko vya supu
Mtindi - 1 kijiko cha supu
Kitunguu saumu(thomu/galic) - 3 Chembe
Ndimu -1 kijiko cha supu
Chumvi - 1/2 kijiko cha chai
Mafuta ya zaytuun (olive oil) -3 vijiko vya supu
Namna ya Kutayarisha:
Kidokezo:
* Twahiynah = ufuta uliosagwa unauzwa tayari katika kopo.
Sosi inaliwa na mkate wa kiarabu (Pita pan bread).
Unaweza kutumia kwa kutengenezea shawarma au kutolea na kitoweo chochote kikavu kama kuku, nyama ya kuchoma, kababu n.k.
Links
[1] https://www.alhidaaya.com/sw/taxonomy/term/146
[2] https://www.addtoany.com/share#url=https%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F1886&title=Hummus%20%20%28Shaam%29